Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

P Diddy Atupwa Jela Miaka 4

Mfanyabiashara na mwanamuziki P Diddy ametupwa jela miaka 4 na miezi miwili baada ya kukutwa na hatia mbili ikiwemo ya usafirishaji wa binadamu kwa ajili ya shughuli za ukahaba.

Hukumu hiyo imetoka ikiwa ni miezi mitatu tangu msanii huyo akutwe na hatia.

Awali, masaa kadhaa kabla ya hukumu yake Oktoba 3,2025, P Diddy alituma barua ya msamaha kwa Jaji wa kesi yake akimuomba msamaha Cassie dhidi ya kitendo alichomfanyia.

Zaidi, Timu yake ilitoa video za msanii huyo akiwa na wanawe za kabla na baada ya P Diddy kuwekwa jela zenye kumtia neno la faraja dhidi ya matukio yote aliyokuwa nayo Diddy hadi kusweka jela miaka 4 na miezi miwili.

Chanzo: Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: