Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kesi ya Takeoff Kuanza Kusikilizwa Nov 2026

Baada ya miaka minne kupita kesi ya mauaji ya msanii kutoka kundi la Migos marehemu TakOff imepangwa kuanza kusikilizwa novemba 5 mwaka huu 2026.

Mtuhumiwa wa mauaji hayo anayefahamika kwa jina la PatrickClark alihudhuria kikao cha awali cha kesi (pre trial hearing) katika Mahakama ya Kaunti ya Harris, Wakati wa kikao hicho, tarehe ya kuanza kwa kesi ilipangwa kuwa Novemba 5.

Msanii TakeOff alifariki kwa kupigwa risasi na kufariki hapo hapo (Novemba 1 2022) baada ya kutokea mzozo uliyosababishwa na kupishana kauli kwa watu waliokuwa wakicheza kamari hali iliyopelekea kufyatuliana risasi na kuchukua uhai wa msanii huyo.

 

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: