Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mc Pilipili Afariki Dunia

Mshereshaji maarufu nchini na Mchekeshaji MC Pilipili amefariki Dunia mchana wa leo katika Hospitali jijini Dodoma.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa Pilipili aliumwa ghafla mchana wa leo, ndugu wa karibu walimkimbiza hospitalini ambako muda mfupi baadae umauti ulimfika.

Taarifa zaidi kuhusu msiba huu tutazileta punde baada ya tamko la familia! Pole kwa Ndugu, Jamaa na Marafiki ambao wameondokewa na mpendwa wao.

 

Chanzo; Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: