Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Dogo Paten Afunguka Kuhusu Watangazaji Waliosimamishwa Kwa Kumsema

Mwishoni mwa wikiendi hii umeshuhudia msanii mpya kwenye game la Singeli, Dogo Paten akizindua EP yake mpya aliyoipa jina la Sikupendi.

Pamoja na hayo Dogo Paten ameeleza kuhusu sakata lililosababisha kusimamishwa kwa watangazaji wa kituo cha redio cha Mjini FM ikiwa ni baada ya kutumia lugha ya kumdhalilisha, akisema ni mipango ya Mungu.

Kuhusiana na mada hii: