Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Davido Akosa Zaidi ya Bilioni 9 Baada ya Nigeria Kushindwa Kufuzu Finaili

Davido amepoteza dau la Milioni 182 baada ya Nigeria kushindwa kupata ushindi dhidi ya Morocco katika nusu-fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025.

Msanii huyo alikuwa ameweka dau la $50,000 (takriban Milioni 182) akiamini Super Eagles watashinda dhidi ya mwenyeji Morocco na kwa timu zote mbili kufunga goli.

Kabla ya mechi Davido alionyesha mkeka wake kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuandika “Nigeria wataingia fainali na nitazidisha dau langu kwenye slip yangu.”

Mechi ya nusu fainali Mchezo ulimalizika kwa sare ya 0-0 baada ya muda wa kawaida, na Morocco kushinda 4-2 kwa penati, na hivyo kuiondoa Nigeria kwenye mashindano.

Iwapo utabiri wa Davido ungefanikiwa, angepata zaidi ya $348,274, sawa na zaidi ya Bilioni 1.93

 

 

 

Chanzo;  Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: