Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ushirikiano, Njia ya Wasanii Kutoboa Kimataifa

Baada ya Kushinda Tuzo ya AFRIMA Msanii wa Bongo Fleva Juma Mussa Mkambala Maarufu kama Jux leo Januari 28, 2026 Jijini Dar es Salaam amesema Wanamuziki wa Tanzania wanatakiwa kushirikiana na Kuwa Wamoja kwenye kazi za Sanaa ili kuleta Tuzo mbalimbali nchini.

"Sio rahisi sana lakini sio kwamba haiwezekani,inawezekana kuleta tuzo kama tutashirikiana,mara ya kwanza kabisa tulikuwa na Msanii ambaye ana nafasi kubwa nje ambaye ni Diamond Platnumz lakini kutokana na kushirikiana tumeanza kuona vitu vinabadilika,hamna kitu kibaya unasafiri kwenda kwenye Show unajikuta peke yako wakati kuna Wasanii zaidi ya 10" Amesema Jux

 

 

Chanzo;Millard Ayo

Kuhusiana na mada hii: