Muimbaji wa Senegal + Marekani, Producer na mfanyabiashara Akon, anasema Hit yake ya ‘Lonely’ ilibadilisha kila kitu kwenye maisha yake ya muziki.
Akon ameshea video ya wimbo wake huo na kuandika
“Ni vigumu kuamini kuwa imepita miaka 22 tangu Lonely itoke. Rekodi hii ilibadilisha kila kitu kwangu, lakini ni mashabiki ambao waliifanya kuwa Legend”.
Chanzo; Eatv