Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mwisho wa Madj, Mc Kufanya Kazi Bila Kujisajili Watangazwa

Baraza la Sanaa la Taifa ( BASATA) limewataka Waongoza Sherehe, Burudani na Matukio (MC) na Manju Muziki (DJ) kuhakikisha wanakuwa na vibali halali vya BASATA ili kujishughulisha na kazi za sanaa Kisheria, ikiwa ni kwa mujibu wa Kanuni za Mwaka 2018 na Tozo za Mwaka 2025, ambapo BASATA ndiyo msajili mkuu na mtoa vibali.

Wahusika wote wametakiwa kuwa na kibali hai ifikapo Januari 31, 2026, ambapo ada ya usajili ni Tsh. 10,000/= na ada ya kibali ni Tsh. 40,000/=, ikielezwa kuwa watakaokiuka watachukuliwa hatua za Kisheria.

 

Chanzo; Jamii Forums

 

 

 

Kuhusiana na mada hii: