Kabla ya kuanza kifungo chake mwaka 2014, rapper Gucci Mane alimkabidhi mpenzi wake (sasa mkewe) Keyshia Ka'oir kiasi cha dola milioni 2 ($2M) kwa ajili ya matumizi.
Badala ya kuzitumia kwenye anasa, Keyshia aliwekeza fedha hizo kwenye biashara zake binafsi na kufanikisha kuikuza hadi kufikia dola milioni 6 ($6M), sawa na takribani shilingi bilioni 16 za Kitanzania, wakati Gucci alipotoka gerezani mwaka 2016.
Chanzo; Global ublishers