Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Billnas Aeleza Chanzo Beef na Nay Wa Mitego

Ikiwa ni masaa kadhaa tangu vita ya maneno itokee baina ya mafahari wawili wa Hip Hop nchini, Nay wa Mitego na Billnas na kufanya mashabiki wengi wahoji nini kinaendelea bila kupata majibu, Billnas ameeleza chanzo cha ugomvi huo ambapo amemrushia lawama Nay wa Mitego kwa kutaka kumgeuza mhanga.

Billnas amezungumza hayo wakati wa mahojiano na East Africa Radio ambapo ameeleza kusikitishwa na kinachoendelea.

Kuhusiana na mada hii: