Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Yanga Watambulisha Jezi Zitakazo Tumika Kimataifa

Muonekano wa jezi za Yanga ambazo zitatumika kuanzia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu.

Jezi hizo zimetambulishwa rasmi leo Novemba 19, 2025 ambazo ni za rangi ya kijani na za rangi ya njano.

Jezi za rangi ya kijani zitatumika kwa mechi za nyumbani na zile za rangi ya njano zitatumika kwa mechi za ugenini.

Rangi nyeusi ni jezi ya tatu.

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: