Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Afcon Kuinua Uchumi wa Tanzania

  1. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda, amesema kuwa ujio wa AFCON 2027 utasaidia kuinua uchumi wa nchi yetu kiujumla.

    Mhe. Makonda ameyasema hayo wakati akiambatana na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dkt. Patrice Motsepe, kutembelea na kukagua Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mwendelezo wa maandalizi ya AFCON 2027.

 

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: