Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Bondia Anthony Joshua Apata Ajali, Wawili Wafariki Dunia

Bondia Anthony Joshua amejeruhiwa, huku watu wengine wawili wakifariki dunia, katika ajali ya gari iliyotokea Nigeria.

Polisi wa eneo hilo wanaeleza kuwa Joshua amepelekwa hospitalini baada ya kupata majeraha madogo na yupo salama.

Ajali hiyo imetokea leo siku ya Jumatatu kwenye barabara kuu ya Ogun–Lagos.

Bondia huyo wa uzani wa juu mwenye umri wa miaka 36 ana asili ya kifamilia kutoka Sagamu, mji uliopo katika Jimbo la Ogun, Nigeria.

 

 

Chanzo; Bongo 5

 

Kuhusiana na mada hii: