Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

“F” ya Nidhamu Chelsea

Baada ya Marc Cucurella kutolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 22 kwa kosa la kumvuta Harry Wilson wa Fulham aliyekuwa anashambulia lango la Chelsea huku Marc akiwa ndiye mtu wa mwisho wa timu (Chelsea) inayolinda, Chelsea imefikisha idadi ya Kadi nyekundu saba (7) kwenye mashindano yote msimu huu.

Kadi nyekundu ya Marc Cucurella imekuwa ya tano (5) katika Ligi kuu Engalnd msimu huu, wengine ni Moisés Caicedo (PL), Malo Gusto (PL), Trevoh Chalobah (PL), Robert Sánchez (PL) huku kadi nyingine ni Liam Delap (EFL) pamoja na Joao Pedro (UEFACL).

Kikosi cha Chelsea katika mchezo huo kilipoteza kwa idadi ya magoli 2-1 dhidi ya Fulham katika Uwanja wa Craven Cottage, ikiwa ni mchezo wa kwanza tangu wamfute kazi Kocha Enzo Maresca.

 

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: