Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Ronaldo Atolewa Uvivu Kugomea Mechi

Mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Danny Murphy amejia juu kitendo cha Cristiano Ronaldo kwa kugomea mechi ya Ligi Kuu ya Saudi Arabia kati ya Al-Nassr dhidi ya Al Riyadh akidai ni kitendo cha kibinafsi.

Taarifa zinaeleza kuwa Ronaldo alikuwa hakuridhishwa na mtazamo wa PIF na utaratibu wa kugawanya fedha, hasa kwa Al Hilal kupewa kiasi kikubwa kabla ya Kombe la Dunia la Klabu, huku Al-Nassr ikipata kidogo.

“Labda Ronaldo angeweza kutoa sehemu ya mshahara wake kwa klabu ili waweze kumiliki wachezaji zaidi. Sijawahi kusikia kitu cha kipuuzi kama hiki maishani mwangu, ni ubinafsi wa kupindukia.” - Murphy

 

 

Chanzo; Eatv

Kuhusiana na mada hii: