Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Samia Ampongeza Geay Kuiweka Mabegani Tanzania Korea

Pongezi za dhati kwa Gerald Geay kwa kuwa mshindi wa kwanza, kwa mara ya pili mfululizo, na Emmanuel Dinday kwa kuwa mshindi wa tatu katika Mbio Ndefu za Daegu (Daegu Marathon) 2026 zilizofanyika nchini Korea Kusini. 

Mlijiandaa vizuri, mmejituma kwa bidii na mmestahili ushindi. Mafanikio haya yanaimarisha hadhi yenu ya kimichezo kimataifa, yanaitangaza na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania, na pia ni funzo na hamasa kwa wanamichezo wengine na timu zetu kufanya vizuri katika mashindano mbalimbali. 

Serikali itaendelea kuweka na kuimarisha mazingira yatakayowawezesha kufanya maandalizi mazuri na kuwa washindani bora kote mnakokwenda.

 

Chanzo; Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: