Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kombe la Dunia Linaweza Kuondoka Marekani

Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA) lina mamlaka ya kuiondolea Marekani haki ya kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia 2026 endapo masharti ya mkataba yatakiukwa, ingawa si uamuzi rahisi kufanyika.

Huku maandalizi yakiendelea katika miji 18 ya waandaaji (Marekani, Canada na Mexico). Kumekuwepo na shinikizo kubwa la kisiasa na kijamii dhidi ya Marekani, hasa kutokana na hali ya sasa ya kisiasa chini ya Rais Donald Trump.

 

Chanzo; Mwanaspoti

Kuhusiana na mada hii: