Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mchezaji Mweusi wa Kwanza Kuishinda Ballon d’Or Tangu 2005

Mshambuliaji wa PSG na timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembélé amekuwa mchezaji wa kwanza Mweusi kushinda Ballon d’Or tangu mwaka 2005

Dembélé ametwaa Ballon d’Or 2025, ikiwa ni mara yake ya kwanza kushinda tuzo hii kubwa duniani na ni mara yake ya kwanza kuingia kwenye Top 30 kama nominee.

Ripoti hii imeandaliwa na Mwandishi wa habari za michezo wa kimataifa kutoka Tanzania John Jackson JJ, ambaye ameshuhudia tukio hili mubashara nchini Ufaransa

 

Chanzo: Clouds Media

Kuhusiana na mada hii: