Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Countinho Aomba Kuvuja Mkataba Apunzishe Akili

Kiungo mshambuliaji wa Brazil, Philippe Coutinho ambaye alikuwa nahodha wa klabu ya CR Vasco da Gama ameomba kuvunja mkataba wake na klabu hiyo akieleza kuwa anahitaji kuipa kipaumbele afya yake ya akili.

Philippe Coutinho
“Nilihisi na kutambua kwamba maisha yangu katika klab yamefikia mwisho na niliamua kutorejea ili kuweka mbele afya yangu ya akili na ukweli ni kwamba nimechoka sana kiakili.

"Siku zote nimekuwa mtu wa faragha hivyo kuzungumza waziwazi hapa si rahisi lakini nahitaji kuwa mkweli."

"Nitabeba Vasco milele moyoni mwangu katika historia yangu na katika maisha yangu na kutoka moyoni, Asanteni kwa kila kitu.”

Kauli hiyo imepokelewa kwa hisia kubwa kutoka kwa mashabiki na wadau wa soka wengi wakimpongeza kwa ujasiri wa kuzungumzia kwa uwazi changamoto za afya ya akili jambo ambalo mara nyingi wanamichezo hulikwepa.

 

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: