Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Samia Azituma Salamu Simba Vs Yanga Aomba Mchezo Mzuri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewatakia kila la heri wachezaji na mashabiki wa timu za Simba na Yanga kuelekea mchezo wao wa Fainali ya Ngao ya Jamii utakaochezwa leo tarehe 16 Septemba, 2025 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam.

“Niko nawaangalieni, nachowaomba ni mchezo mzuri, atakayeshinda tutampongeza.” - Rais Samia

Chanzo; Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: