Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Dembele Kidedea Ballon d’Or 202

Winga wa Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ameibuka kidedea kwa kutwaa tuzo ya Ballon d'Or 2025 baada ya kumbwaga chipukizi wa Barcelona, Lamine Yamaha.

Dembélé (28) aling'ara msimu uliopita akiisaidia PSG kutwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa kihistoria wa mabao 5-0 dhidi ya Inter Milan, pamoja na kutwaa ubingwa wa Ligue 1. Katika msimu wa 2024/25 Ndebele alicheza mechi 53 na kufunga mabao 35 na asisti 16.

 

Chanzo; Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: