Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Stars Yatua Dar es Salaam

Ndege ya Shirika la Tanzania ikitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam leo Januari 8, 2025 ikiwa na msafara wa timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' ikirejea kutoka Morocco ilikoshiriki Fainali za Mataifa Afrika AFCON 2025.

‎Stars iliishia hatua ya 16-Bora baada ya kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya wenyeji Morocco.

‎Timu hiyo imepokewa na Waziri wa Habari, Utamanduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi aliyefuatana na viongozi wengine wa Serikali.

 

 

Chanzo; Mwananchi

Kuhusiana na mada hii: