Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watoto wa Kitanzania Kushiriki Mashindano ya Mashua

Timu ya vijana wa umri chini ya miaka 15 toka Tanzania inatarajiwa kushiriki mashindano ya mashua yanayotarajiwa kufanyika nchini na kuzikutanisha timu mbalimbali toka barani Afrika. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mashindano hayo, Aaliyah (14) ameelezea namna familia yake hasa Babu walivyokuwa chachu ya yeye kuingia kwenye mchezo wa Mashua.



Aaliyah amesema amejiandaa vizuri kuipeperusha bendera ya Tanzania kwenye mashindano ya Mashua mwaka huu.

 

 

Habari hii imechapishwa toka ukurasa wa Clouds FM mtandao wa Instagram. Bofya hapa kutembelea stori hii.

Kuhusiana na mada hii: