Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mpango wa Rashford Kurejea Man United

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya England, Marcus Rashford, ameripotiwa kuwa hana mpango wa kurejea Manchester United baada ya kumalizika kwa mkopo wake katika klabu ya FC Barcelona.

Kwa mujibu wa taarifa ya Daily Mirror, Rashford yuko tayari kupunguza mshahara wake ili aendelee kusalia Hispania, akiamini maisha na mazingira ya soka Barcelona yanamfaa zaidi kwa sasa.

Hatua hiyo inaashiria wazi kuwa nyota huyo hana tena nia ya kurudi Old Trafford, huku akitafuta ukurasa mpya wa maisha yake ya soka barani Ulaya.

 

 

Chanzo; Global Publishers

Kuhusiana na mada hii: