Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Taifa Stars Yafuzu Mtoano Afcon

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imefuzu hatua ya mtoano baada ya kutoa sare dhidi ya Tunisia katika mechi za AFCON 2025.

Stars imefuzu hatua hiyo baada ya kumaliza nafasi ya nne kwenye timu za 'best looser' juu ya Angola ambayo wamelingana pointi ikiwazidi mabao ya kufunga. Stars ina mabao 3 ya kufunga na 4 ya kufungwa huku Angola akiwa nayo 2 ya kufunga na 3 ya kufungwa.

Matokeo mengine, Uganda imeaga mashindano hayo ikikubali kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Nigeria.

 

 

Chanzo; Mwanaspoti

Kuhusiana na mada hii: