Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Abungana wa Kakamega Homeboyz Afariki Dunia

Klabu ya Kakamega Homeboyz FC ipo katika majonzi kufuatia kifo cha beki wao, Silas Abungana, aliyefariki dunia alipokuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kakamega.

Abungana alicheza na kumaliza dakika zote 90 katika mchezo wa ligi dhidi ya Mara Sugar FC uliofanyika siku ya Jumamosi jambo lililoongeza mshtuko mkubwa kwa mashabiki wachezaji na wadau wa soka.

 

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: