Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Messi Atembelea Uwanja wa Barcelona kwa Siri

Nahodha wa zamani wa klabu ya Barcelona Lionel Messi ametembelea uwanja mpya wa Barcelona kwa siri Usiku wa kuamkia leo

Messi
"Jana usiku nilirudi sehemu ambayo ninaikumbuka sana. Mahali ambapo nilikuwa na furaha sana, ambapo ulinifanya nijisikie mara elfu ya mtu mwenye furaha zaidi duniani. Natumai siku moja nitarudi, na sio tu kusema kwaheri kama mchezaji, kwani sikuweza kufanya".

Siku kadhaa zilizopita rais wa klabu ya Barcelona Joan Laporta alizungumza kuwa anahitaji kumuona tena Lionel Messi akitembelea Barcelona na kutoa heshima katika uwanja wao mpya New Sportify Camp Nou

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: