Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Samia Kula Chakula Pamoja na Stars

Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kukutana na wachezaji wa timu ya Taifa Stars Januari 10, 2026, Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam, katika hafla ya chakula cha mchana kwa lengo la kuwapongeza kwa kazi kubwa walioifanya kwenye mashindano ya AFCON.

Aidha, Rais Samia atakutana pia na wanamichezo wengine walioiletea heshima Tanzania katika mashindano ya kimataifa.

 

 

Chanzo; Nipashe

Kuhusiana na mada hii: