Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Samia “Akiba ya Chakula ni Zaidi ya Miezi Minne”

Mgombea Urais kupitia chama tawala nchini Tanzania CCM Samia Suluhu Hassan amesema taifa hilo la Afrika mashariki linayo akiba ya kutoisha ya chakula kwa miezi iliyo salia kwa mwaka 2025.

“Akiba yetu ya Chakula sasa ni zaidi ya miezi minne mwaka mzima hatuwezi kufa njaa, tuna chakula cha kutosha lakini pia tunazalisha chakula kwa biashara” - Dkt. Samia

Ameyasema hayo kwenye kampeni za chama hicho mkoani Arusha Kaskazini mwa Tanzania na kuongeza kuwa, kwa sasa taiafa hilo linajipanga kuboresha kilimo cha biashara kinachojikita kidigitali ili kuendana na matakwa ya duania ya sasa.

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: