Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Hali ya Usalama Zanzibar Yaibua Gumzo

Wakati zikisalia wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu visiwani Zanzibar, mgombea urais anayetetea kiti chake, Hussein Ali Mwinyi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), na mpinzani wake mkuu ambaye pia ni makamu wake wa kwanza, Othman Masoud Othman wa chama cha ACT-Wazalendo, wanatupiana lawama juu ya uwezekano wa kuharibika kwa hali ya usalama katika visiwa hivyo ambavyo vimezowea kushuhudia matukio ya mauaji na uvunjwaji mkubwa wa haki za binaadamu kwenye historia ya miongo mitatu ya chaguzi za vyama vingi.

 

Chanzo: Dw

Kuhusiana na mada hii: