Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Chadema Wasisitiza Kesi ya Lissu Kusikilizwa Live

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche leo Februari 16, 2026 akiongea na Wanahabari nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar Es Salaam aivaa vikali Serikali kisa mashahidi wa siri kwenye kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu, adai kama wameshindwa kuwapanga vizuri mashahidi, wataweza kweli kupanga uchumi wa nchi?

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, itaendelea kesho February 17, 2026 katika Mahakama Kuu Masijala Ndogo Jijini Dar Es Salaam

 

 

Chanzo; Wsafi Media

Kuhusiana na mada hii: