Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Dua ya Samia na Mwinyi Kaburini kwa Hayati Karume

Samia Suluhu Hassan, Mgombea nafasi ya Urais Kupitia Cha cha Mapinduzi, akiwa na Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Mgombea Urais Zanzibar, pamoja na viongozi wengine wakiomba dua kwenye kaburi la Rais wa kwanza wa Zanzibar, Hayati Sheikh Abeid Aman Karume, katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar.

 

Chanzo; Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: