Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Mx Carter Awataka Billnas na Gara B Kumlipa Mabilioni

Mtaalam wa kidigitali na msimamizi wa kazi za wasanii katika mitandao ya muziki, Michael Mlingwa (Mx Carter) amewataka msanii Billnas na MC maarufu Gara B kumlipa fidia ikiwa ni baada ya chapisho alilotoa Bill Nass akimtuhumu kwa kudhulumu haki yake kwa kutopata chochote katika ngoma yake ya Puuh.

What’s Poppin imepiga stori na mwanasheria wa Mx Carter ambaye amefunguka kwa undani.

 

 

Kuhusiana na mada hii: