Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

iPhone 17 Yaiingizia Apple Hasara ya Zaidi ya Trillioni 300

Kampuni ya Apple imepata hasara kubwa baada ya uzinduzi wa iPhone 17, ambapo hisa zake zilipungua kwa 1.5% na kushuka hadi 612,285/= tsh kwa hisa moja hali iliyofanya kampuni hiyo kupoteza zaidi ya dola bilioni 112 sawa na 305.76 trilioni za kitanzania katika thamani ya soko.

 Ripoti za media zinasema hasara hiyo imetokana na mauzo ya chini ya iPhone 17. Simu hiyo iliyopewa hadhi ya juu ina kamera yenye viwango vya juu, rangi za bold na black, pia ni nyembamba zaidi, lakini bado haijapata mafanikio makubwa. 

Zaidi, bei ya hisa za Apple zimepolomoka hadi 612,285/=  kutoka 620,232/= baada ya uzinduzi wa iPhone 17.

Chanzo: Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: