Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Instagram Yafikisha Watumiaji Bilioni 3

Kupitia Instagram channel ya META mmiliki wa mtandao huo, Mark Zuckerberg ametoa shukrani kwa watumiaji wa mtandao wa Instagram kwa mafanikio makubwa ya ongezeko la watumiaji wake kwa mwezi.

• Watumiaji bilioni 3 kwa mwezi

• Mtandao namba 3 duniani, nyuma ya Facebook na YouTube pekee

• Thamani zaidi ya dola Bilioni 500 (sawa na trilioni 1,238 za Kitanzania)

Instagram si tena mtandao wa picha pekee, ni himaya ya kijamii na kiuchumi.

 

Chanzo: Eatv

Kuhusiana na mada hii: